Posts

Showing posts from February, 2019

Yajue mambo ambayo humpa furaha mpenzi wako

Image
Uhusiano maridhawa katika ndoa ni kitu kinachohitaji kujituma kwa bidii kubwa. Ni kitu kinachohitaji subira, uelewa na upendo kwa pande zote mbili. Wakati unapenda kumfanya mwenzio kuwa mwenye furaha, kuna mambo kadhaa unayoweza kuyafanya kuhakikisha nawe unapata furaha. Ukweli kama hutofanya mambo haya matano, hutokuwa na zana sahihi zinazokupa furaha katika maisha ya ndoa yako: 1. Kumuamini. Imani ni ufunguo wa furaha katika maisha ya ndoa. Usipomuamini mwenza wako utaendelea kukosa utulivu na kuwaza kuwa yuko wapi, yuko na nani au anafanya nini. Stress na mashaka utakayoyapata kutokana na wasiwasi na hisia za kuhisi kile anachofanya vitakuondolea furaha  yako. Ili uwe na furaha unatakiwa kuwa na imani, kumuamini. Imani inaweza kuchukua muda mrefu kuijenga, lakini ni kitu nyeti sana. Hakikisha unamweleza mwenzako wasiwasi wako pindi jambo fulani linapokuwa haliko sawa. Inaweza ikawa ni kutoelewa tu, lakini ukiiruhusu shaka ishike hatamu, inaweza kugeuka kuwa tatizo kubwa zaid...

Kama unataka kudumu katika mahusiano yako epuka kumwambia mpenzi wako maneno haya

Image
Endapo umekwisha ingia katika mahusiano au unatarajia kuingia katika mahusiano ya kimapenzi, yapo mambo yanyofaa ambayo junaweza kumwambia mpenzi wako naye akafurahi, lakini yapo mambo ambayo kimsingi hupaswi kabisa kumwambia mpenzi wako. Kwani endapo utaamua kumwambia utatengeneza njia ambayo itawafanya mahusiono yenu yafe mara moja. Maneno yafuatayo ni hatari kwa kuwa yanaleta madhara makubwa moyoni mwa mlengwa na ni vyema kuzuia kuyatamka kwa namna yoyote ile. Maneno  Mabaya Ambayo Hutakiwi Kusema Kwa Mwenza Wako: 1. Nakuchukia Chuki ni kitu kikubwa sana,kwa kweli huwezi kuishi na mtu ambaye unamchukia. Hutakiwi kumtamkia mwenza wako neno hili. Unaweza kuchukia tabia yake lakini si yeye mwenyewe. Njia nzuri ni kusema kuwa “Nachukia au sipendi tabia yako ya kuchelewa kurudi nyumbani” au maneno yanayofanana na hayo. 2. Maneno ya Matusi Maneno kama “mjinga” au “mpumbavu” yasitumike kwa mwenza wako hata kama yana ukweli ndani yake. Japo ujinga ni kutofahamu kitu fulani lakini nen...

Sababu yatajwa Wanaume Wenye Umri Mdogo Kutunga Mimba Haraka Wanawake Wenye Umri Mkubwa

Image
Utafiti uliofanywa na Chuo kikuu cha Havard nchini Marekani uliowashirikisha wanawake 2000 na kubainisha kuwa uwezo wa mwanamke kushika ujauzito hupungua kadri umri unavyosonga na imeonekana kuwa mwanamke anaweza kuongeza uwezo wa kupata ujauzito kama mwenza wake atakuwa na umri mdogo. Umri wa mwanamke unaweza kuwa tatizo lakini. dawa ni kuwa na mwanaume aliyemzidi umri kwani anakwenda kuyaamsha” amesema Daktari Gillian Lockwood. Watafiti walisema kuwa wanawake wana bahati sana kwani mbegu za uzazi wa mwanaume waliowazidi umri huyapa nguvu mpya mayai yao. Na utafiti huu ulibainisha kuwa wanaweke wenye wenza waliowazidi umri au kuwa sawa nao hawakufanikiwa kushika ujauzito kwa haraka tofauti na wanawake wenye waunaume wenye umri mdogo maarufu kama Ben ten. Wanawake wenye umri kati ya miaka 35 au 40 wenye wenza wa umri wa chini ya miaka 30 walifanikiwa kushika ujauzito haraka. Lakini pia utafiti huu ulibainisha kuwa wanawake chini ya umri wa miaka 30 wenye wenza wa kuanzia miaka 40 kw...

Zitambue DALILI za Mwanamke Anayetaka Kuachana Nawe Katika Mahusiano

Image
Kuna tofauti kubwa ya kimaamuzi kati ya mwanaume na mwanamke kwenye suala la kuachana. Inaelezwa kwamba, wanaume ni rahisi kuamua ndani ya dakika moja na kutangaza kuvunja uhusiano, lakini kwa wanawake maamuzi yao mara nyingi hutanguliwa na dalili, ingawa hata wanaume nao wanazo. Uchunguzi unaonesha kuwa, wanawake wengi hawawezi kuficha sana hisia zao za mapenzi, lakini pia kwenye chuki hawakujaaliwa uvumilivu. Wanasaikolojia wanakiri kwamba, kutambua mawazo yaliyomo ndani ya mwanamke kwa kumtazama muonekano wake usoni ni rahisi kuliko mwanaume ambaye anatajwa kuwa na uwezo wa kuficha mawazo yake. Muongozo huo wa kitaalamu wa kumtambua mwanamke anayekaribia kukuacha ni kazi rahisi, ambayo inaweza kuanzia kwenye kona ya mazoea ya tabia zake za kila siku kwenye uhusiano wa kimapenzi. Ni imani yangu kuwa kila mwanaume anamfahamu mpenzi wake katika sura mbili za chuki na furaha yake. Atakuwa mwanaume wa ajabu ambaye atarudi nyumbani kwake na kushindwa kusoma sura ya mkewe na kujua kama ...

Zijue sababu za ugumba kwa wanawake

Image
Ugumba ni nini ? Hii ni hali ya wapenzi au mke na mume kutopata ujauzito. Ugumba unaweza kua primary infertility yaani mtu hajawahi kubeba mimba kabisa   tangu azaliwe au secondary infertility yaani mtu ambaye amewahi kuzaa lakini kwa sasa ameshindwa kubeba ujauzito. utafiti uanonyesha katika kila ndoa tano au mahusiano matano ya kimapenzi basi uhusiano mmoja una matatizo ya uzazi ya kushindwa kuzaa. Hali hii imekua ikiongezeka kadri miaka inavyosonga mbele kwa sababu mbalimbali kama mionzi ya mawasiliano yaani wi-fi , magonjwa mapya ya binadamu na kadhalika. Kwa wanawake utafiti mpya unasema uwezo wao wa kubeba mimba unaanza kupungua baada ya miaka 30 ya umri kutokana na kuanza kuishiwa nguvu kwa viungo vya uzazi. Ugumba una vyanzo vingi sana ambavyo vingine havifahamiki mpaka leo  lakini hebu tuone vyanzo muhimu vya ugumba. Utoaji wa mimba. Huenda hichi ndio kitakua chanzo kikuu cha ugumba miaka ijayo kwani siku hizi kila karibia kila mwanamke ana sababu za kutoa mim...

Baadhi ya Sababu Kwanini Tunaingia Kwenye Ndoa na Watu Wasio Sahihi

Image
Tendo la Ngono; Hili inapokua mapema ni kama kulisha kuku wa kisasa. Inafanya mahusiano yakue haraka bila kuwa na uimara au ubora wenye virutubisho vyenye ladha. : . Ngono ya mapema inatengeneza kitu kwa kitaalamu kinaitwa GMR - Genetically Modified, Relationship au Early maturing. Badala ya kifikiria jinsi ya kufanya mahusiano yawe bora, mtaanza kufikiri namna ya kufanya se..x vizuri zaidi mtakapokutana next time. : . Badala ya kutizama kama partner wako anafaa kuwa mume au mke, utaanza kutizama kama partner wako yuko vizuri au vibaya kitandani. Baada ya kupanga pamoja future yenu, mtakua mkipanga pamoja style za se....x basi, kama vile mnajiandaa kutengeneza video za ngono. Money (Pesa): Ndio maana maandiko yanasema pesa ndio shina la kila mabaya (1 Timothy 6:10)...pesa zinaweza zikakufanya uoe au uolewe na mtu asie sahihi. : . Mathalani, mwanaume anapokua na pesa, wanawake wapenda pesa tu wataanza kujitokeza na kujigonga kwake, itaongeza chances za yeye kuoa wale wanaopenda pesa ...

ZIFAHAMU STYLES 6 ZA KIUFUNDI ZA KUFAIDI MAPENZI KATIKA TENDO LA NDOA, JIFUNZE HIZI UONE FAIDA ZAKE IKIWEMO KUMDHIBITI MWANAUME ASITOKE NJE YA NDOA LAKINI UTACHANA NA STYLES ILE YA KIFO CHA MENDE KUTOKANA UHONDO WAKE !!!.

Image
TUKUMBUSHANE:  JIFUNZE SEX STYLES ZA KUPEANA RAHA NA UTAMU ZAIDI NA MKE WAKO AMA MUMEO KUBORESHA PENZI.   FLATIRON   FLATIRON  Jinsi Ya Kujipanga   Mwanamke alale kitandani uso ukiangalia chini makalio yaangalie juu, asisahau kubinua nyonga/makalio juu kidogo(kama mvivu kidogo aweke mto(pillow) chini ya kinena),kujibinua kwake kutaongeza raha na utamu zaidi  Faida Za Hii Style  Mwanamke anapata nafasi ya kuenjoy Raha na Utamu akiwa amerelax,na kwakuwa miili inakuwa imebanana sana,mashine ya mwanaume itaonekana kubwa kidogo  Maujanja Ya Ziada  Mwanaume awe anapump taratibu kwa juu sio lazima sana aingie deep,akumbuke kuhema vizuri asije akachoka haraka    FLATIRON  How ?.  You lie face down on the bed, legs straight, hips slightly raised.  Benefit  This position creates a snug fit. Your guy’s stuff will seem even larger.  Bonus  Some shallow thrusts and deep breathing will help...

Kama Ulikuwa Unajiuliza Wanawake wa Mjini Wanaishije Bila Kazi na Huku Wanamaisha Mazuri Soma Hii

Image
Msichana akitaka PERUVIAN HAIR mpya wala hahangaiki sana...Anaingia kwenye PHONEBOOK yake anachagua Madanga yake 20 anayoyaamini kwamba hayawezi kumuangusha...AnaCOMPOSE Meseji Tamuuu ambayo kila danga likipokea linahisi hiyo ni Meseji yake peke yake. "Babe Mambo,Nimekumiss leo hadi nimekuota yaani nimeamka So Wet I really miss my Pompolimpo,pole na kazi mme wangu I wish I was there nikumassage na Ulimi hadi usinzie..Leo Niko zangu tu home sijatoka nlikuwa naangalia Muvi mara LUKU imekata hapa na sina hata Salio.Una Sh 30,000 unitumie ninunue Luku babe wangu?Please maana kutoka mpaka ATM saa hizi usiku.Love you xoxoxo" Akimaliza Anatengeneza BROADCAST LIST anawaweka yale Madanga humo halafu anatafuta Option inaitwa SEND TO MANY,anafowadi lile meseji TWAAAAP!!Anauchuna kama dakika 5 hivi,meseji za Muamala zinaanza kutiririka kutoka Ukonga mpaka Tegeta,Sinza mpaka Makongo Juu "Imethibitishwa umepokea 30,000 kutoka kwa Rajabu Kistuli" "Imethibitishwa umepokea ...

Mke wangu Ananiambia Anatongozwa Sana, Nifanyeje?

Image
Mke wangu amenishangaza sana baada ya kuniambia kuwa akiwa kazini au mizunguko huko mtaani kuwa anatongozwa sana na wanaume mbali mbali lakini eti anawakataa wote.... Maswali yangu Wataalam wa mambo hivi Inapofikia hatua mke wako wandoa anakwambia hivyo ina maana gani? Hivi Kweli Mwanamke anaweza kwa siku atongozwe na wanaume watano na kuwakataa wote?

Ndoa Haina Mwenyewe Bana...Kama Unabisha Angalia Watu Wanao Oa na Kuolewa

Image
Ukitaka Kujua NDOA HAINA mwenyewe angalia watu wanaoolewa na kuoa...Ni wale usiowategemea kabisaaaaaaaa Ndoa haina Kanuni...Kwamba ukifuata Stage 1,Ukavuka Stage 2 basi unaqualify...WALAAAA Kuna watu na Bikira zao(kama Mimi) na watu hawana habari nao kabisaaaaa ILA kuna watu 'wametumika' mpaka Mshale wa Kilomita umeungua,hausomi,lakini kabla ya September mwaka huu, vidole vyao vitakua vinang'aa kwa bati takatifu la dhahabu Watu wanaloga waolewe...UTASANDA Wengine wanapretend ili Wawavutie watu flani...UTASUBIRI SANA Ndoa ni Blessing from God na ni kitu kitakatifu...Ni Mpaka Mungu aaandike,aruhusu...HAINA MBINU Just BE URSELF mtu akupende na akuoe kama ulivyo,Usimuonyeshe wewe ni Mwekundu ili akupende halafu aje agundue wewe ni wa Pink UTAKUWA MJANE KIJANA BAADA YA 3YEARS! By Seth De Jesus

MADHARA ya Kutofanya Tendo la Ndoa Muda Mrefu

Image
Habari zenu, nimeona niwaletee hili nina imani mtajifunza hasa kwa wale wasiofahamu,Ukikaa Muda Mrefu bila Kufanya tendo la Ndoa madhara yake ni kama haya: Hasira za mara kwa mara katika mambo madogo, kupendelea sana kuangalia picha za uchi, Kusahausahau, Kupendelea story za mapenzi, Kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi (Mke), Kupenda kurukiarukia mambo ya watu wengine (tabia ya kufuatilia mambo yasiyokuhusu), Kuumwa na kichwa, Kukakamaa mgongo (wanaume), Kuingiliwa kirahisi na jini mahaba, Kupoteza umakini ktk kazi (efficiency), Siku ukikutana kimwili na mwenye virusi bila kinga utaambukizwa kirahisi mno, Waweza ku-develop tabia mpya ambayo hukuwahi kuwa nayo ili iwe mbadala kama ulevi n.k.

Ungekuwa wewe Ungefanyaje??....Jamaa Anamtaka Kimapenzi Mchumba wa mtu Kisa Kawasikia Usiku Wakifanya

Image
Hii  story  nimekuta  inajadiliwa  sehemu  flani, nikaona  si  mbaya  nikusogezee  na  wewe  mdau.Jamaa  anasema  alikuwa  Lodge  na  mpenzi  wake  wamejipumzisha. Kama  unavyojua  mambo  ya  Lodge, hasa  unapokuwa  na  mke  wako  au  mchumbaako, jamaa  anadai  walijiachia  vyakutosha  ili  mradi  tu  kila  mmoja  aifurahie  siku  hiyo... Kumbe  purukushani  zao  za  chumbani  zilikuwa  zikitoka  mpaka  nje  ya  chumba, hali  iliyomfanya  mwanaume  mmoja  aliyekuwa  chumba  cha jirani  ashindwe  kulala. Baada  ya  purukushani  hizo, jamaa  aliamua  kuchomoka  ili  akape  walau  bia  mbili  tatu  kujipooza  huku  akimfungia  mpenzi...